Tuesday, October 07, 2014

Mtambo wa kwanza wa ATM Mogadishu

0 comments
 
Watu katika mji mkuu wa Somalia, Mogadishu wameanza kutumia mtambo wa kwanza kuwahi kutumika wa kutoa pesa mjini humo.
Mtambo huo wa benki ya Salaam Somali Bank, umewekwa katika hoteli moja na tayari umeanza kutumika na kuwaruhusu wateja kutoa dola za kimarekani.

Linah aweka wazi gharama alio tumia ktengeneza video ya Ole Thamba.

0 comments

Msanii wa kike hapa nchini Linah amesema alitoa shilingi milioni 49,800,000 na kumkabidhi muongozaji wa video wa Afrika Kusini, Godfather kushoot video ya Ole Themba.