habari isiyo nzuri iliyopo hivi sasa ni kumuhusu msanii Frank Ktende a.k.a Buibui,
ambae amepata ajali weekend hii, kwa kugongwa na boda boda maeneo ya
Kinondoni studio, na kusababisha mguu wake wa kushoto kuvunjika na mguu
wa kulia kuteguka
Kisa cha mpaka kufikia kugongwa na pikipiki hiyo, ni pale alipokuwa na
washkaji zake na mwanadada mmoja alimtaja kwa jina la Lina J, ambae ni
mschana anaefanya nae video ya wimbo wake, video iliyokuwa inataki
kukamilika siku ya jana.