Thursday, January 10, 2013

Nas ameanza ku-record albam yake ya 12 ,na ataja albam alizozikubali 2012..

0 comments

Nas pamoja nakutoka na albam yake ya 11, LIFE IS GOOD mwezi July 2012, amesema hivi sasa yupo katika nafasi nzuri hivyo anatengeza kazi nyingine ..
Nas katika interview alioifanya hivi karibuni amesema tayari ameanza kutengeneza muendelezo wa  Life is Good . "ndio!nimeanza kurecord ,naweza kukwambia. I can’t stop now.nipo katika nafasi nzuri”
Pia the Queens, New York rapper akatumia nafasi hiyo kutaja favorite albums kwa upande wake kwa  2012 , akataja albam ya Kendrick Lamar GOOD KID,m.A.A.d CITY na albam ya Meek Mill DREAMS & NIGHTMARES . hizo  ndio albam zake kwa mwa 2012..
"bila kumdharau mtu yoyote katika rap music, Kendrick Lamar. I’m really happy about his record.niliitaji hicho kitu, record zake zinakufikia ,na zinakupa matumaini ..na pia  Meek Mill.nguvu yake ni ya kushangaza..amesema Nas…

VIDEO: Tyga Ft Game – Switch Lanes (Behind The Scenes)

0 comments
Behind the scenes footage! Video dropping soon!

Tuesday, January 08, 2013

Amber Rose asherehekea Baby Shower with Wiz Khalifa, Christina Milian, & LoLa Monroe

0 comments

Amber Rose naWiz Khalifa wamebakiza week kadhaa kabla hawajawa wazazi,hivyo walikuwa na baby shower mwishoni mwa week. Amber Rose aka mama kijacho alikuwa amevalia vazi lenye rangi ya upinde wa mvua akiwa amevalishwa na mwanamitindo Jeremy Scott ambaye pia alitoa zawadi ya sneakers aina ya adidas kwa ajili ya mtoto atakaye zaliwa ,so siku hiyo Amber alikuwa akifungua zawadi ,wakicheza michezo tofauti tofauti wakifurahia kumkaribisha mtoto wao wa kwanza wakiume ..
Na walijumuika na Family and friends akiwemo muimbaji Christina Milian na Rapper wa kike kutoka Taylor Gang LoLa Monroe,
Baada ya hapo Ambar rose akatweet “We had a good ol down home baby shower today. No Papz, No booshiness just Fun, Friends, Family, Food & Good times,”
Ambar natarajia kujifungua mwezi ujao na wamepanga kuvuta ganja za kutosha kabla ya kujifungua ..
check more pics...
                                                    Amber Rose na Christina Millan



Monday, January 07, 2013

Proffesor Jay anatafutwa na police nchini Kenya....

0 comments

Tanzanian rapper Professor J inadawa anatafutwa na police Mombasa Nchini Kenya kwamadai ya kuondoka na camera ya promota nchini humo.. J alikuwa nchini Kenya kwa ajili ya kufanya show mbili,
Sasa inadaiwa promoter huyo kwa kuwa alikuwa ajakusanya pesa zote kabla ya performance za kumlipa Prof J, aliamua kumlipa nusu na kumpa camera aina ya Nikon D3000 kama dhamana..
Baada ya show zote mbili ambazo zilifanyika Jamboree Resort na  Quetu Beach Resort, J aliondoka na camera licha ya kuwa amelipwa pesa zake zote za show.
Promoter huyo anataka arudishiwe camera na alipwe fidia ya siku ambazo Jay amekaa na camera hiyo,
Hiyo madai hayo amewasilisha kituo cha police huko Mombasa hivyo Prof Jay anatafutwa ilikujibu madai hayo..
Wameandika Kenyan Daily Post…

AVRIL akanusha kutoka na DIAMOND...

0 comments





mkali wa ngoma ya   ‘Kitu kimoja’  avril amekuwa akihusishwa ku date na wanaume kadhaa tangu amekuwa star ,miezi michache iliyopita rapper, G-Kon ilisemekana anatoka nae kabla ya Avril ajakanusha tarifa hizo..
Baada ya kipindi kifupi tena zikaibuka fununu anatoka na co-host wa Kiss 100 Jalang’o,  rumors ambazo zilififia ghafla..
Last Friday, social media nchini kenya zilizungumza kuwa  bongoflava  artist kutoka Tanzania Diamond ndiye anaetoka na diva huyo . sasa baada ya Avril kupata habari hizo akawa na haya ya kusema :
 
“Diamond na mimi hakuna kitu chochote are just friends. Sio msanii pekee yangu niliotekea kwenye video yake alitaka support yetu kwenye video zake Kesho na Nataka Kulewa ambazo zilikuwa zinatayarishwa na kutengenezwa na Ogopa DJs.   Sikwenda na Diamond Zanzibar nilikuwa pekeyangu kwa mapumziko ya week moja ,nashangaa nani ameanzisha fununu hizo.”amesema avril
 
Source..The Kenyan daily post

Saturday, January 05, 2013

Tyga azungumzia uwezekano wa kufanya tena albam ya collabo na Chris Brown "Fan Of A Fan 2"

0 comments
Pamoja na kuja na albam yake mpya, Tyga amezungumzia uwezekano wa kufanya project mpya na  Chris Brown "Fan Of A Fan 2".
Mwaka  2012, kabla ajaachia  187 mixtape, Tyga  alisema albam yake ya Hotel California ipo karibuni kutoka na itakuwa tayari march 2013.  Tyga amesema yeye pamoja na chris Brown wame-plan collabo project ya Fan Of A Fan 2, na amezungumzia ni kwanini anapenda kufanya kazi na Brown.
Akiwa ndani ya  Power 106 Big Boy’s Neighbourhood, the Young Money rapper amesema yeye na C-Breezy wamepanga kufanya kazi pamoja lakini solo projects zinawafanya wakose muda.  “nazani yupo nje ya nchi kwasasa ,nimezungumza nae sio muda mrefu ,tuna ngoma nyingi ,japo  nadrop albam yangu March ,nafikiria yeye pia anatengeneza vitu vipya “amesema Tyga akimzungumzia C-Breezy..
Kuhusu kwanini anapenda kufanya kazi na brown ,Tyga anasema nirahisi kufanya kazi na C-Breezy na hufanya kazi pamoja studio kwa kushirikiana.
“tunafanya vitu vyote studio pamoja ,anaweza kuja na idea za ngoma tatu mpaka nne  ndani ya dakika 30,namimi natengeneza verses kwenye ngoma hizo ,na yuko fast wakati anarecord..


Tizama interview alioifanya Tyga na Power 106’s Big Boy’s Neighbourhood..

Friday, January 04, 2013

BIASHARA MPYA YA IZZO B, INTERNATE CAFE MJINI MBEYA..MR SUGU KUIZINDUA LEO..

0 comments
 Mbunge wa Mbeya mjini Mh Joseph Mbilinyi (Sugu) anatarajiwa kuwa mgeni rasmi katika ufunguzi wa biashara mpya ya msanii Izzo B "INTERNETE CAFE" iliyoko katika chuo cha Teku jijini Mbeya.
Huu utakua ni uwekezaji wa pili wa msanii Izzo B baada ya kufungua duka la nguo hapo hapo mjini mbeya ambapo ndipo anapotoka. All  the best


Aliyejitambulisha “mwanajeshi” na kupiga picha na Lema, Nassari.Akamatwa!

0 comments
Yule mtu aliyedaiwa kuwa ni mwanajeshi wa JWTZ wa kikosi cha Monduli ametiwa mbaroni leo kwa ushirikiano wa jeshi la wananchi na PoliceUchunguzi wa awali umebaini kuwa kijana huyu hakuwa mwanajeshi wa JWTZ kama alivyojitambulisha kwa waandishi wa habari, ila aliwahi kuwa JKT na akaacha. Amekuwa akivaa ngua hizo za jeshi kwa miaka mingi na wananchi wa Mererani wanamtambua kama mwanajeshi.
chanzo cha taarifa hii: Thechoicetz.com (lakini wavuti.com imeiona taarifa hii awali kwenye Tulonge.com)

2 Chainz asema amekuwa akizungumza na kanye west juu ya kujiunga na G.O.O.D Music ,lakini bado muda haujafika…

0 comments

BAADA kufanya vizuri mwaka uliopita, 2 Chainz amewashukuru wote waliosaidia mafanikio yake ,na akazungumzia ni kwanini ajajiunga rasmi na G.O.O.D. Music .
2012 ulikuwa ni mwaka ambao ndo tumeona  2 Chainz amekuwa on fire kwenye rap,licha yakuwa yupo katika game zaidi ya muongo yani zaidi ya miaka 10.
Moja kati ya ngoma kubwa ambazo amezifanya 2 chainz mwaka jana ni “Birthday Song”, anasema alishangaa kuona kanye anataka kutokea katika ngoma hiyo “ nilikuwa na ideas kibao za ngoma na nilitaka kufanya na kanye ,nilimsikilizisha tukiwa kwenye tour bus ,wengine walisema nikazi sana kurecord na kanye ,nilipomsikiliziha akasema ‘send it to me’.”
Akizungumzia mausiano yake na boss wa G.O.O.D. Music 2 Chainz anasema "Alisha nitaka ni-sign katika label yake ,lakini kwasasa muda bado ,unajua kanye amenisaidia sana katika albam yangu ,tumekuwa tukizungumza hilo kwa muda wote.  Amemaliza 2 chainz..