Mke wa zamani wa rais wa kwanza muafrika nchini afrika kusini Nelson Mandela,
Winnie Mandela,amesema anahisi movie mpya kutoka Hollywood ambayo
imefanywa na muimbaji Jennifer Hudson na star wa filamu Terrence Howard
imemkosea heshima .
Mke wa zamani wa rais wa kwanza muafrika nchini afrika kusini Nelson Mandela,
Winnie Mandela,amesema anahisi movie mpya kutoka Hollywood ambayo
imefanywa na muimbaji Jennifer Hudson na star wa filamu Terrence Howard
imemkosea heshima .
Rapper mkongwe Africa mashariki Nazizi kutoka nchini Kenya ameachia albam mpya
ikiwa ni collabo na muimbaji kutoka Jamaica Ginjah ambaye alikuwa nchini Kenya
mwaka jana kwa ajili ya kushoot video .