Monday, May 12, 2014

Obama ampongeza mchezaji wa American Football aliejitangaza hadharani kuwa na tabia za ushoga

0 comments
Obama ampongeza mchezaji wa American Football aliejitangaza hadharani kuwa na tabia za ushoga
Mchezaji mmoja wa timu ya ligi ya American Football (National Footbal League), Michael Sam amekuwa mchezaji wa kwanza wa mpira wa miguu kutangaza kuwa anajihusisha na tabia za ushoga.
Sam alikuwa ameteuliwa na timu ya Saint Louis Rams katika siku ya mwisho ya usakaji wa vipaji katika mchezo huo ulio maarufu zaidi nchini marekani.

Hermy B aandika barua ya wazi inayoeleza kwa kina yaliyotokea B'Hitz na mpango wao mpya, 'It's a new Chapter'

0 comments

Hermy B aandika barua ya wazi inayoeleza kwa kina yaliyotokea B 
 Producer na CEO wa Bhitz Music Group, Hermy B ameandika barua ya wazi akielezea yaliyowahi kutokea Bhitz, uamuzi na mpango wao mpya.

Donald Sterling aomba radhi kwa ubaguzi wa rangi, anaamini alitegwa na mpenzi wake 'nilitegwa kuingia kwenye kosa kubwa'

0 comments
Donald Sterling aomba radhi kwa ubaguzi wa rangi, anaamini alitegwa na mpenzi wake
Mmiliki wa Clippers, Donald Sterling ameomba radhi kwa kosa alilofanya la kutoa matamshi ya kibaguzi dhidi ya watu weusi wakati akiongea na mpenzi wake kwa njia ya simu wiki kadhaa zilizopita na maneno yake kurekodiwa na kusambazwa.

Saturday, May 10, 2014

Mabadiliko: The Jump Off ya Times Fm kucheza asilimia 90 nyimbo za wasanii wa Tanzania siku zote

0 comments
Mabadiliko: The Jump Off ya Times Fm kucheza asilimia 90 nyimbo za wasanii wa Tanzania siku zote

Kipindi cha The Jump Off cha 100.5 Times Fm kimefanya mabadiliko katika upigaji wa muziki wake ambapo kimeamua kujikita zaidi katika muziki wa Tanzania kwa asilimia 90 na asilimia 10 tu zitasikika nyimbo za nje ya Tanzania. 

Rais Kikwete afanya mazunguzo na Samatta na Ulimwengu nchini Congo..

0 comments
 

Na Mahmoud Zubeiry, Dar es Salaam
RAIS wa Jamhuri ya Muungano Tanzania, Jakaya Mrisho Kikwete leo amewatembelea washambuliaji wawili Watanzania wanaocheza TP Mazembe ya Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo (DRC), Mbwana Ally Samatta na Thomas Emannuel Ulimwengu.

Thursday, May 08, 2014

Michelle Obama, Drake, Angelina Jolie wajiunga kwenye kampeni ya #BringBackOurGirls

0 comments

 Michelle Obama
Mke wa rais wa marekani Michalle Obama amejiunga na Watu maarufu duniani  katika kampeni ya #BringBackOurGirls  kushinikiza kuachiwa kwa wasichana ambao ni wanafunzi  zaidi ya 200 walitekwa  nchini Nigeria na kikundi cha Boko Haram tangu April 14, 2014. 

VIDEO :Rapper Scarface amesema haoni sababu ya Donald Sterling kuomba msamaa baada ya kitendo chake ubaguzi ..

0 comments

http://upload.wikimedia.org/wikipedia/commons/0/02/Scarface_(rapper).jpg
Baada ya chama cha mpira wa kikapu nchini marekani NBA kumfungia maisha mmiliki wa timu ya kikapu L.A clippers Donald Sterling ,baada ya kupatikana na hatia ya ubaguzi kufuatia kuvuja kwa mazungumzo yake na mpenzi wake V. Stiviano akimwambia hataki kuona akipeka watu weusi katika michezo yake ,kufuatia kitendo hicho watu wengi wamekuwa wakimtaka Sterlin aombe msamaa lakini imekuwa kinyume kwa rapper Scarface .

Wednesday, May 07, 2014

MFAHAMU MWANAMKE WA KWANZA KUWA KOCHA WA KLABU YA LIGI KUBWA ULAYA.

0 comments

KLABU ya Daraja la Pili Ufaransa, Clermont Foot imemuajiri mwanamama Helena Costa kuwa mocha wao mpya.
Mama huyo mwenye umri wa miaka 39 atakuwa mocha wa kwanza wa kike kuongoza timu ya maharaja mawili ya juu katika Ligi za Ulaya.
Costa kwa sass ni mocha wa timu ya taiga ya wan awake ya Iran ambaye awali alifundisha timu za wan awake za Qatar na Benfica. Pia amewahi kufanya kazi na mabingwa wa Scotland, Celtic.
Mwanamama kazini: Helena Costa (kulia) ndiye mocha mpya wa Clermont Foot ya Daraja la Pili Ufaransa

Audio: Profesa Jay asema wasanii wengi wapya wanaofanya vizuri hawawaheshimu wasanii wakongwe

0 comments
 Audio: Profesa Jay asema wasanii wengi wapya wanaofanya vizuri hawawaheshimu wasanii wakongwe
Profesa Jay ni moja kati ya wasanii walioleta mapinduzi makubwa kwenye muziki wa kizazi kipya na kuwashawishi watu wengi waupende na kuusikiliza mwishoni mwa karne ya 20.

Rapper Rich Hommie adondoka kwa kifafa..

0 comments
Rapper Rich Homie Quan Hospitalized After Suffering Twin Seizures
Rapper Rich Homie Quan  jana jumanne jioni alilazimika kukimbizwa hospitali baada ya kupata kifafa (seizures) na kudondoka wakati akifanya video huko Atlanta.

Jay Jay Okocha amesaini mkataba wa kuwa balozi wa kinywaji cha Bullet Energy ..

0 comments

Jay Jay Okocha  


Mwanasoka mkongwe  Austin ‘Jay Jay’ Okocha amesaini mkataba wa kuwa balozi wa kinywaji cha  Bullet Energy ,mchezaji huyo wa zamani wa   Bolton Wanderers FC ameungana na muigizaji wa kike  Chika Ike katika dili hilo ambaye sura yake imekuwa kitumika kukitangaza kinywaji hicho .

Tuesday, May 06, 2014

VIDEO:Tyrese aponda reality Tv shows asema zinachangia kuharibu mahusiano..

0 comments

Tyrese amesema blogs ,vyombo vya habari na reality TV vinaharibu mahusiano ya wapenzi wengi kwa kuwa vimeegemea kwenye upande wa mabaya  na kutalakiana kuliko kumulika mazuri katika mahusiano ya ndoa.

Thursday, May 01, 2014

BAADA YA DOMAYO NA KAVUMBANGU KUSAJILIWA NA AZAM FC ,YANGA YATOA TAMKO..

0 comments
Uongozi wa klabu ya Young Africans unapenda kuwajulisha wanachama wake, wapenzi wa soka na wadau kwa ujumla kuwa taarifa za kuhama kwa wachezai wake Didier Kavumbagu na Frank Domayo kwenda kujiunga na Azam FC zisiwakatishe tamaa, ni mapenzi ya wachezaj wenyewe kwani walishakubaliana na uongozi kila kitu juu ya kuendelea kuitumikia Yanga kabla ya siku mbili hizi kuonekana wakiwa wamejiunga na wana ramba ramba.

Wednesday, April 30, 2014

Video: Angalia video ya Profesa Jay akihojiwa na Fredwaa katika kipindi cha Sun Rise cha Times Fm

0 comments
 Video: Angalia video ya Profesa Jay akihojiwa na Fredwaa katika kipindi cha Sun Rise cha Times Fm 
Profesa Jay alikuwa mgeni katika kipindi cha Sun Rise cha 100.5 Times Fm Ijumaa iliyopita ikiwa ni Exclusive Friday ambapo alifanya mahojiano na Fred Fidelis maarufu kama Fredwaa.

KTMA: Leo ni mwisho wa upigaji kura

0 comments

KTMA: Leo ni mwisho wa upigaji kura

Leo (April 30) mlango wa kuwapigia kura wasanii wanaowania tuzo katika vipengele mbalimbali vya Kilimanjaro Tanzania Music Awards 2014 unafungwa rasmi.
Mashabiki wanaweza kusaidia kuwapa nafasi zaidi wasanii wanaowapenda au nyimbo wanazozikubali zaidi na wanapenda zichukue tuzo mwaka huu katika vipengele husika.