Tuesday, August 05, 2014

Davido aelezea mazungumzo kati yake na Drake kufanya Collabo.

 Davido aelezea mazungumzo kati yake na Drake kufanya Collabo
Msanii wa Nigeria, Davido anaendelea kusaka nafasi ya kuwa kati ya wasanii wakubwa zaidi sio tu Afrika bali dunia nzima kwa ujumla.
Siku kadhaa baada ya kutangaza collabo na Meek Mill na Rick Ross, mwimbaji huyo wa ‘Aye’ ameiambia Encomium kuwa yuko katika mazungumzo na rapper wa Young Money, Drake kwa ajili ya kufanya collabo kwa usimamizi wa Don Jazzy.

 
“I might not call it ‘dream collaboration’ but by His grace, it’ll work, and already, I am talking with Drake and Don Jazzy. We would work on something very unique.” Amesema Davido.
Amefafanua kuwa mpango wake wa kufanya collabo na wasanii wakubwa wa kimataifa au hata wadogo sio kwa lengo la kusaka umaarufu.
“My collaboration with other artistes is not a ploy to be popular, after all, I am not going to take the glory alone. Apart from the artistes you collaborated with, you never know what song can make you big as well. It doesn’t matter if you feature a big or up-and-coming artiste. That’s the main reason I am doing this.”

0 comments: