Monday, March 31, 2014

Rapper Ice Prince asaini na kampuni kubwa ya kutangaza muziki duniani (Universal Music Group )

0 comments

 


Mkali kutoka Label ya Chocolate City Panchak Zamani, AkA Ice Prince, amesaini mkataba na kampuni kubwa ya kusambazi kaz za wasanii duniani  Universal Music Group.

Rapper huyo wa albam ya  ‘Fire of Zamani’amesema makubaliano tayari yamesa fanyika kilicho baki ni kutangwa rasmi ,akipanya mahojiano na Pulse Ice Prince amesema ''nimeingia mkataba  Universal Music Group ,bado hawajanitangaza rasmi ,wanaanza na wimbo wa  ‘I Swear’ track, ambao umepewa kibali UK na kisha nyimbo zingine zitafuata..


Sarkodie awataka wasanii wa ghana kuungana ili walishike soko la muziki afrika..

0 comments
 
Mkali kutoka Ghana Sarkodie akizungumzia mipango yake kwa mwaka  2014 amesema anataka kuona ghana inateka soko la muziki afrika mwaka huu ,na amepanga  kuwaweka wasanii wakubwa wa ghana katika wimbo mmoja ili kulishika bara zima la afrika .

Thursday, March 27, 2014

Jaguar ndo msanii pekee anayeweza kukaa karibu na Rais Kenyatta kama marafiki Tizama hii picha...

0 comments

Jose Chameleone Amechaguliwa kuwa balozi wa utalii nchini Uganda...

0 comments
spika wa bunge la uganda mheshimiwa Rebecca Kadaga amemchagua Jose Chameleone kuwa balozi wa mashindano ya kupanda miamba ya  Kagulu (Kagulu Hill Rock climbing challenge 2014)

mke wa T.I akiri kuweka makalio ya bandia..

0 comments
http://www.funkydineva.com/wp-content/uploads/2014/02/tiandtinyroc4life.jpe
Mke wa T.i ambaye ni muimbaji wa R&B Tameka “Tiny” Harris akifanya mahojiano katika kipindi cha Wendy Williams amekili kuweka maziwa na makalio ya bandia

Kanye kumualika Mary J Blige kutumbuiza wimbo wa 'Everything' maalum kwa Kim katika ndoa yao...

0 comments
Kim Kardashian and Kanye. Photo: Filed
Kanye West  ambaye anatarajia kumuoa Kim Kardashian hivi karibuni nchini ufaransa amepanga kumshawishi muimbaji wa R&B Mary J. Blige kutumbuiza wimbo maarufu wa mwaka  1997 ‘Everything 'katika harusi yao

Wednesday, March 26, 2014

Chanzo cha ajali iliyo yafabisha kifo cha muigizaji Paul Walker cha fahamika ..

0 comments
http://i1.mirror.co.uk/incoming/article2871602.ece/ALTERNATES/s1023/Paul-Walker-2871602.jpgTaarifa ya upelelezi wa ajali iliosababisha kifo cha muigizaji Paul Walker inasema kilichobabisha ajali hiyo sio tatizo la kiufundi ndani ya gari  bali ni mwendo kasi ..

baada ya "Mastermind." kukamata namba 1 Rick ross awanunulia saa za gharama wasanii walioshiriki kwenye albam hiyo..

0 comments
03-24-14-rick-ross-watches-tmzRick Ross amethibitisha kuwa yeye ni boss baada ya albam yake kukamata nafasi ya kwanza kwenye charts amewanunulia saa za gharama baadhi ya wasanii aliowashirikisha kwenye albam hiyo ikiwa ni sehemu ya kusherehekea ..

Monday, March 24, 2014

Rick Ross hutumia mistari ya Zaburi kumshukuru mungu...

1 comments
http://www.zkhiphani.co.za/wp-content/uploads/Rick-Ross-in-south-africa-2013.jpg
 Rosey ambaye anamafanikio makubwa kupitia albam sita alizo kwisha kuzitoa mpaka sasa amsema hupiga goti kila siku kabla ya kulala na kumshukuru mungu kwa kila kitu na anapenda kutumia kutumia mistari ya biblia iliopo kwenye zaburi  27:1''

Muimbaji aliegeuka mchungaji Soul E adai kuoteshwa na mungu Wizkid akinyweshwa sumu ,Davido akipata ajali na kufariki na Aso Rock ikiungua moto”

0 comments
4 
Msanii kutoka Nigeria ambaye hakupata mafanikio makubwa kupitia muziki Soul E ambaye kwa hivi sasa ni Mchungaji ametumia kurasa zake za Facebook na Instagram kutujulisha kile alicho anadai ameoneshwa na mungu ,na kusema mungu amemfungua macho yake na kumuonesha kuwa Wizkid amenyweshwa sumu , Davido amepata ajali na kufariki na eneo lanye madhari nzuri Abuja 'Aso Rock" likiungua moto”
Soul E kwa hivi sasa anamiliki kanisa lake nchini Nigeria



Olamide kushirikiana na D’banj katika biashara ..

0 comments
OLAMIDE MAM
Olamide ambaye alichana Gangstar Rap na kuanza kufanya Rap inayo mtambulisha kuwa yeye ni Rapper kutoka Nigeria (indigenous rap) amezungumzia mahusiano yake na D'banj

8 Things Every Entrepreneur Can Learn From Jay-Z

0 comments


When Reddit co-founder Alexis Ohanian was asked who his role models are at SXSW last week, he eschewed naming anyone in tech. Instead he highlighted an iconic businessman he admired: Jay-Z.

Ndoa ya Paul Okoye wa P sqaure yaweka Historia, yarushwa LIVE kwenye TV..

0 comments
 http://net.nigerianentertai.netdna-cdn.com/wp-content/uploads/2014/03/Paul-Okoye-weds-Anita-Isama-4.jpg
Paul na mkewe waliuza haki za kurushwa kwa ndoa yao ya kimira iliofanyika march 22 moja kwa moja  kwenye television ya Hip (Hip TV ) ambayo inapatikana kwenye Dstv (324 ) 

Thursday, March 20, 2014

Muigizaji Lindsay Lohan ameorodhesha majina 36 ya wanaume maarufu alio wahi kulala nao, yupo Justin Timberlake na Adam Lavine.

0 comments
http://piccolor.com/wp-content/uploads/2014/01/Lindsay-Lohan-2013-Photoshoot-Background-HD-Wallpaper-1080x607.jpg
Lindsay (27)akiwa na rafiki zake katika hotel ya  Beverly Hills January 30 2013 pande za LA walikuwa wakizungumza kuhusu wanaume na mapenzi ,ndipo alipo amua kuchukua peni na kuandika kwa mkono wake majina  ya wanaume maarufu alio lala nao na alipo maliza akaisahau karatasi hiyo hotelini ..

Muimbaji wa wimbo wa "Kuch Kuch "Jodie Odiete asema hajawahi kufanya mapenzi (bikra)

0 comments

J'odie, Photo: Jaguda.com


Katika interview alio ifanya hivi karibuni mkali huyo wa single ya Kuch Kuch Jodie aliambiwa atoe mtizamo wake kuhusu watu waliopo kwenye mahusiano ya ngono .

Wednesday, March 19, 2014

Baba yeke D'banj hafurahishwi na mwanae kufanya muziki..

0 comments

My dad is not proud of me -Dbanj 

Kila msanii anastory ya kusimilia kuhusu wazazi wake wanamchukuliaje baada ya kuchagua kufanya musiki, kwa upande wa D'banj baba yeke hafurahi kabisa mwanae kufanya musiki .

mwanamitindo aliedaiwa kubomoa mahusano ya washiriki wa BBA Elikem na Pokello akanusha kuwa na ujauzizo

0 comments
ELIKEM Theresa
Wiki iliopita kuliwepo  taarifa kuwa washiriki wa Big Brother Afrika (The chase )Elikem na Pokello ambao ni wapenzi wa muda mrefu wameachana sababu ikiwa ni  Elikem kumpa mimba mwanamitindo Theresa Boateng (Onnen), sasa mwanamitindo huyo amekanusha taarifa hizo na kuelezea jinsi gani alikutana na Elikem.

Mambo 30 usio yajua kuhusu Wizkid

0 comments
Wizkid-
1) Jina lake halisi anaitwa Ayodeji Ibrahim Balogun.

2) Alizaliwa July 16, 1990  Lagos Nigiria katika familia ya watoto 6

Tuesday, March 18, 2014

Iyanya azindua mradi wa kusaidia yatima,naye amepoteza wazazi wake wote..

0 comments
Iyanya is set to launch a foundation for Orphans and the less privileged. ||Photo: Instagram
Msanii kutoka Nigeria Iyanya Mbuk, ametangaza kuzindua mradi wa kusaidia watoto yatima na watu wano ishi kwenye mazingira magumu kupitia  ’The Iyanya Foundation’.

Thursday, March 13, 2014

Birthday party ya Robin Thicke ilifanyika bila kuepo jinsia ya kike

0 comments

Jumatatu march 10, Robin Thicke alikuwa anasherehekea kutimiza miaka 37 na alifanya party katika nightclub moja jijini los Angeles Marekani na kuhudhuriwa na rafiki zake akiwemo Leonardo DiCaprio, lakini hakuna msichana alie ruhusiwa kuingia kwenye part hiyo.

Tukio hilo limetafsiriwa kuwa ni njia anayoitumia Robin ili arudiane na mkewe Paula Patton alieshi nae kwa miaka 8 na kupata mtoto wakiume Julian,ambapo inasemeka Paula amemwambia Robin athibitishe kweli anaitaji ndoa yao iendelee
Paula alidai talaka baada ya kukosa furaha ya ndoa kufuatia Robin kuoneka yupo karibu na wanawake wengine..


TIZAMA VIDEO EMMANUEL ADEBAYOR NA DAVIDO WAKICHEZA "AYE',WIMBO WA DAVIDO

0 comments
Mwanasoka raia wa Togo ambaye ananyumba nchini ghana Emmanuel Adebayor ameonekana akicheza na Davido 'Aye' ambao ni wimbo wa Davido  nyumbaani kwake , davido ambaye yupo nchini Ghana hivi sasa ameonekana aki enjoy na mwana soka huyo ,moja ya vitu ambavyo amevifanya Davido nchini Ghana ni pamoja na kufanya wimbo na Msanii wa dancehall Shatta Wale. Tizama video inayomuonesha Adebayor na Davido wakicheza Aye

)

Friday, March 07, 2014

Nazizi achana na mumewe..

0 comments

 http://www.bongo5.com/wp-content/uploads/2014/03/Naziz.jpg
baada ya kufunga ndoa ya sheria ya kiislam mwaka 2008 Nazizi na mumewe Vini Hamsa Leopold wameamuwa kuachana .

Thursday, March 06, 2014

Tazama picha zilizua fununu kuwa Lupita Nyong'o anatoka na Rapper K'naan...

0 comments
lup2
Fununu zimeenea kupitia mitandao kuwa mshindi wa tuzo ya OSCAR kupitia kipengele cha muigizaji msaidizi (best surpoting actress )kutokana na movie ya 12 year a slave Luputa Nyon'go ana mahusiano ya kimapenzi na rapper raia wa somalia ambaye makazi yake ni Canada K'NaaN ..

Rapper kutoka Ghana Sarkodie aelezea kwanini hakujiunga na Konvict music na mipango ya kukutana na Roc Nation..

0 comments

 sarkodie

kipindi fulani wakati akon alienda ghana kwa mara ya kwanza ,habari zilieneaa kuwa amemsaini rapper kutoka nchini humo Sarkodie baada ya kuonekana vipande vya video vinavilivyo waonesha wakipiga story ,lakini akon alipo rudi ghana kwa mara ya pili mwaka jana akakanusha uvumi huo

Davido kutoa albam ya skelewu..

0 comments

Davido To Launch Skelewu Album On March 17

Davido ametangaza rasmi albam ya pili ilioipa jina la SKELEWU hii itakuwa nia albam yake ya pili baada ya albam yake ya kwanza OBO (Omo Baba Olowo)Kufanya vizuri ..

Davido amesema ataachia albam hiyo march 17 akiwa Uk na kuanzia march 28 atakuwa na tour marekani kaskazini
 
 

Wednesday, March 05, 2014

Manager wa D'banj athibitisha kuwa D'banj bado yupo G.O.O.D music ya Kanye west..

0 comments
D’banj is still with kanye West

Week iliyopita blogs  nyingi ziliziliandika kuwa ushirikiano kati ya  Kanye and D’Banj haupo tena na kanye na faaida alioipata D banj baada ya kujiunga na label ya Kanye west G.O.OD Music ni Kanye kutokea kwenye video yake ya Oliver Twist na kufanya verse kwenye wimbo wa Scapegoat remix na d banj kuonekana kwa dakika zisizo fika tatu kwenye video ya  Mercy .

Mwanasoka Mikel Obi aingia kwenye tasnia ya filamu ,kufanya movie na Genevieve Nnaji..

0 comments

Genevieve Nnaji and Mikel Obi

Mwanasoka Mikel Obi aingia kwenye tasnia ya filamu ,kufanya movie na  Genevieve Nnaji
Habari hizi zimekuja siku chache baada ya mwanasoka Mikel Obi anaechezea Chelsea na muigizaji huyo wa Nollywood kuonekana katika picha wakisafiri kwa ndege binafsi kwenda south afrika.