Tuesday, October 07, 2014

Mtambo wa kwanza wa ATM Mogadishu

0 comments
 
Watu katika mji mkuu wa Somalia, Mogadishu wameanza kutumia mtambo wa kwanza kuwahi kutumika wa kutoa pesa mjini humo.
Mtambo huo wa benki ya Salaam Somali Bank, umewekwa katika hoteli moja na tayari umeanza kutumika na kuwaruhusu wateja kutoa dola za kimarekani.

Linah aweka wazi gharama alio tumia ktengeneza video ya Ole Thamba.

0 comments

Msanii wa kike hapa nchini Linah amesema alitoa shilingi milioni 49,800,000 na kumkabidhi muongozaji wa video wa Afrika Kusini, Godfather kushoot video ya Ole Themba.

Wednesday, August 27, 2014

Albam ya Wiz Khalifa yakamata nafasi ya kwanza Billboard 200

0 comments

 Wiz Khalifa
Kiongozi wa  Taylor Gang Wiz Khalifa amefanikiw  kwa mara ya kwanza albam yake  kukamata nafasi ya kwanza kwenye Billboard 200  wiki hii

Tuesday, August 05, 2014

Davido aelezea mazungumzo kati yake na Drake kufanya Collabo.

0 comments
 Davido aelezea mazungumzo kati yake na Drake kufanya Collabo
Msanii wa Nigeria, Davido anaendelea kusaka nafasi ya kuwa kati ya wasanii wakubwa zaidi sio tu Afrika bali dunia nzima kwa ujumla.
Siku kadhaa baada ya kutangaza collabo na Meek Mill na Rick Ross, mwimbaji huyo wa ‘Aye’ ameiambia Encomium kuwa yuko katika mazungumzo na rapper wa Young Money, Drake kwa ajili ya kufanya collabo kwa usimamizi wa Don Jazzy.

Thursday, July 31, 2014

wimbo mpya :Wanaboa -Samata A

0 comments
huu ni wimbo mpya kutoka kwa msanii anae kuja kwa kasi katika mtindo wa AfroPop ni wimbo wake wa pili kuutoa.
usikilize hapa,..

Iyanya atoa ushauri kwa Wizkid na Davido kuhusu beef kati yao

0 comments
Iyanya atoa ushauri kwa Wizkid na Davido kuhusu beef kati yao
Taarifa za kuwepo beef kati ya wasanii wakubwa wa Nigeria Wizkid na Davido wakitambiana nani anafunika zaidi zinaendelea kukorezwa na tweets za vijembe kati yao kila kukicha.

Thursday, July 17, 2014

video:chris brown na drake wafanya comedy,wamaliza beef yao..

0 comments
Chris Brown, Blake Griffin, and Drake

Drake na Chris Brown wamedhibisha kuwa wamefuta beef yao baada ya kuonekana pamoja katika kipande cha video ya kichekesho ilio onekana wakati wa utoaji wa tuzo za wanamichezo walio fanya vizuri mwaka 2014  ESPYS.

Tuesday, July 15, 2014

Fresh Montana akaribia kumvisha Khloe Kardashian.

0 comments



Rapper Frech Montana (29 )huenda akamvisha pete ya uchumba mpenzi wake Khloe kardashian hivi karibuni.
Khloe ambaye aliachana na mumewe Lamar Odom December mwaka jana walieishi pamoja kwa miaka minne kwa madai alikuwa akimsaliti na pia ni mtumiaji wa madawa ya kulevya inasemekana amekuwa akishinikiza talaka yake ikamilike mapema iwezekanavyo.

Monday, July 14, 2014

Rick Ross atoa tamko baada ya Meek Mill kwenda jela..

0 comments
http://youheardthatnew.com/wp-content/uploads/2014/07/meek.jpg
Baada ya kuripotiwa kuwa rapper meek mill atakaa jela kwa kipindi kisicho pungua miezi mitatu mpaka sita na huenda akashindwa kusherehekea kuachiwa kwa albam yake  ya Dreams Worth More Than Money akiwa  huru kupokana na kukiuka kipindi  cha matazamio boss wa MayBackmusic ametoa tamko kuhusu tukio hilo.

Wednesday, July 02, 2014

Grandpa Records yatoa tamko baada ya DNA kujitoa katika label hiyo..

0 comments
dna
Baada ya rapper DNA kutoka nchini Kenya kutangaza kuachana na Lebel iliokuwa inamsimamia Grandpa Records akidai anataka kufanya kazi zake kwa kujitegemea lebel hiyo imetoa tamko kuhusu kilicho sababisha jamaa kuondoka.

Thursday, June 26, 2014

Dogo janja amesema mazingira ya shule za kinzania ndio yanayo sababisha ashindwe kuendelea na masomo

0 comments

Dogo janja ambaye ameishia form 2 na kushindwa kuendelea na masoma katika shule ya sekondari makongo alipo kuwa anasoma baada ya kuto kufanya vizuri katika mitiani yake ya kuingia form 3 amesema ukiwa msanii kusoma katika shule zetu huwa ni ngumu kutona mazingira.

2face hajafurahishwa na vyombo vya habari kuzungumzia ugonjwa unao msumbua baba yake.

0 comments
 http://cultureshocknigerians.com/wp-content/uploads/2013/02/2face.png
2face hajafurahishwa na vyombo vya habari kuzungumzia ugonjwa unao msumbua baba yake.
baada ya kuenea  habari kwenye vyombo vya habari nchini nigeria kuwa baba wa muimbaji 2face Idibia anasumbuliwa na saratani,

Frank ocean amtimua meneja wake..

0 comments
http://www.billboard.com/files/styles/promo_650/public/stylus/1475759-Frank-Ocean-best-bets-617-409.jpg  Frank Ocean wakati akijipanga kutoa albam yake mpya amemfukuza meneja  pamoja na msemaji wake ambao amefanya nao kazi kutoka mwaka 2010.

Thursday, June 19, 2014

chanzo cha beef ya T.I na rappe wa kike rapper wa kike Azealia Bank

0 comments
 
Hisasa kuna beef kat ya Rapper T.I na rapper wa kike Azealia Banks
beef yao ilinza baada ya T.i kutoa wimbo wa “No Mediocre ambao amefanya na Iggy azalea

wimbo ambao T.I anavutiwa na wasichana wazuri duniani
baada ya huo mwimbo kutoka Azealia Banks alitwit “You want no mediocre…but have you seen your wife?”
yani nikama alikuwa namwambia T.I unasema hupendi wasichana wasio wazuri ,vipi umeshamuona mke wako ?

Wednesday, June 18, 2014

Tanzania kubadili sheria kuhusu Shisha...

0 comments

Waziri wa afya nchini Tanzania, amesema kuwa Tanzania inapanga kutathmini sheria ya sasa kuhusu matumizi ya Sisha ili kufanya mageuzi au kubadili sheria hiyo matumizi ya Shisha.