Thursday, January 24, 2013

Sikiliza alichokisema Penny baada ya kuonekana picha ya utata akiwa amelala na Diamond Platinum ...

Msanii wa Bongo Fleva maarufu Diamond Platinum siku ya leo kupitia katika mitandao mbalimbali kulikuwa na  maswali mengi sana juu ya picha ambayo ikimuonyesha Diamond Platinum akiwa amelala na Penny.
sasa Swahiliinfo imefumania interview aliifanya Vj Penny kuzungumzia ishu hiyo,anadai yeye na Diamond ni marafiki tu.
msikilize hapa..

0 comments: