Tuesday, October 07, 2014

Mtambo wa kwanza wa ATM Mogadishu

0 comments
 
Watu katika mji mkuu wa Somalia, Mogadishu wameanza kutumia mtambo wa kwanza kuwahi kutumika wa kutoa pesa mjini humo.
Mtambo huo wa benki ya Salaam Somali Bank, umewekwa katika hoteli moja na tayari umeanza kutumika na kuwaruhusu wateja kutoa dola za kimarekani.

Linah aweka wazi gharama alio tumia ktengeneza video ya Ole Thamba.

0 comments

Msanii wa kike hapa nchini Linah amesema alitoa shilingi milioni 49,800,000 na kumkabidhi muongozaji wa video wa Afrika Kusini, Godfather kushoot video ya Ole Themba.

Wednesday, August 27, 2014

Albam ya Wiz Khalifa yakamata nafasi ya kwanza Billboard 200

0 comments

 Wiz Khalifa
Kiongozi wa  Taylor Gang Wiz Khalifa amefanikiw  kwa mara ya kwanza albam yake  kukamata nafasi ya kwanza kwenye Billboard 200  wiki hii

Tuesday, August 05, 2014

Davido aelezea mazungumzo kati yake na Drake kufanya Collabo.

0 comments
 Davido aelezea mazungumzo kati yake na Drake kufanya Collabo
Msanii wa Nigeria, Davido anaendelea kusaka nafasi ya kuwa kati ya wasanii wakubwa zaidi sio tu Afrika bali dunia nzima kwa ujumla.
Siku kadhaa baada ya kutangaza collabo na Meek Mill na Rick Ross, mwimbaji huyo wa ‘Aye’ ameiambia Encomium kuwa yuko katika mazungumzo na rapper wa Young Money, Drake kwa ajili ya kufanya collabo kwa usimamizi wa Don Jazzy.

Thursday, July 31, 2014

wimbo mpya :Wanaboa -Samata A

0 comments
huu ni wimbo mpya kutoka kwa msanii anae kuja kwa kasi katika mtindo wa AfroPop ni wimbo wake wa pili kuutoa.
usikilize hapa,..

Iyanya atoa ushauri kwa Wizkid na Davido kuhusu beef kati yao

0 comments
Iyanya atoa ushauri kwa Wizkid na Davido kuhusu beef kati yao
Taarifa za kuwepo beef kati ya wasanii wakubwa wa Nigeria Wizkid na Davido wakitambiana nani anafunika zaidi zinaendelea kukorezwa na tweets za vijembe kati yao kila kukicha.

Thursday, July 17, 2014

video:chris brown na drake wafanya comedy,wamaliza beef yao..

0 comments
Chris Brown, Blake Griffin, and Drake

Drake na Chris Brown wamedhibisha kuwa wamefuta beef yao baada ya kuonekana pamoja katika kipande cha video ya kichekesho ilio onekana wakati wa utoaji wa tuzo za wanamichezo walio fanya vizuri mwaka 2014  ESPYS.

Tuesday, July 15, 2014

Fresh Montana akaribia kumvisha Khloe Kardashian.

0 comments



Rapper Frech Montana (29 )huenda akamvisha pete ya uchumba mpenzi wake Khloe kardashian hivi karibuni.
Khloe ambaye aliachana na mumewe Lamar Odom December mwaka jana walieishi pamoja kwa miaka minne kwa madai alikuwa akimsaliti na pia ni mtumiaji wa madawa ya kulevya inasemekana amekuwa akishinikiza talaka yake ikamilike mapema iwezekanavyo.

Monday, July 14, 2014

Rick Ross atoa tamko baada ya Meek Mill kwenda jela..

0 comments
http://youheardthatnew.com/wp-content/uploads/2014/07/meek.jpg
Baada ya kuripotiwa kuwa rapper meek mill atakaa jela kwa kipindi kisicho pungua miezi mitatu mpaka sita na huenda akashindwa kusherehekea kuachiwa kwa albam yake  ya Dreams Worth More Than Money akiwa  huru kupokana na kukiuka kipindi  cha matazamio boss wa MayBackmusic ametoa tamko kuhusu tukio hilo.

Wednesday, July 02, 2014

Grandpa Records yatoa tamko baada ya DNA kujitoa katika label hiyo..

0 comments
dna
Baada ya rapper DNA kutoka nchini Kenya kutangaza kuachana na Lebel iliokuwa inamsimamia Grandpa Records akidai anataka kufanya kazi zake kwa kujitegemea lebel hiyo imetoa tamko kuhusu kilicho sababisha jamaa kuondoka.

Thursday, June 26, 2014

Dogo janja amesema mazingira ya shule za kinzania ndio yanayo sababisha ashindwe kuendelea na masomo

0 comments

Dogo janja ambaye ameishia form 2 na kushindwa kuendelea na masoma katika shule ya sekondari makongo alipo kuwa anasoma baada ya kuto kufanya vizuri katika mitiani yake ya kuingia form 3 amesema ukiwa msanii kusoma katika shule zetu huwa ni ngumu kutona mazingira.

2face hajafurahishwa na vyombo vya habari kuzungumzia ugonjwa unao msumbua baba yake.

0 comments
 http://cultureshocknigerians.com/wp-content/uploads/2013/02/2face.png
2face hajafurahishwa na vyombo vya habari kuzungumzia ugonjwa unao msumbua baba yake.
baada ya kuenea  habari kwenye vyombo vya habari nchini nigeria kuwa baba wa muimbaji 2face Idibia anasumbuliwa na saratani,

Frank ocean amtimua meneja wake..

0 comments
http://www.billboard.com/files/styles/promo_650/public/stylus/1475759-Frank-Ocean-best-bets-617-409.jpg  Frank Ocean wakati akijipanga kutoa albam yake mpya amemfukuza meneja  pamoja na msemaji wake ambao amefanya nao kazi kutoka mwaka 2010.

Thursday, June 19, 2014

chanzo cha beef ya T.I na rappe wa kike rapper wa kike Azealia Bank

0 comments
 
Hisasa kuna beef kat ya Rapper T.I na rapper wa kike Azealia Banks
beef yao ilinza baada ya T.i kutoa wimbo wa “No Mediocre ambao amefanya na Iggy azalea

wimbo ambao T.I anavutiwa na wasichana wazuri duniani
baada ya huo mwimbo kutoka Azealia Banks alitwit “You want no mediocre…but have you seen your wife?”
yani nikama alikuwa namwambia T.I unasema hupendi wasichana wasio wazuri ,vipi umeshamuona mke wako ?

Wednesday, June 18, 2014

Tanzania kubadili sheria kuhusu Shisha...

0 comments

Waziri wa afya nchini Tanzania, amesema kuwa Tanzania inapanga kutathmini sheria ya sasa kuhusu matumizi ya Sisha ili kufanya mageuzi au kubadili sheria hiyo matumizi ya Shisha.

Jamaica inampango wa kulegeza sheria ya matumizi ya bangi..

0 comments

Jamaica Plans To Decriminalize MarijuanaWakati nchi nyingi hivi sasa zimelegeza sheria ya matumizi ya marujuana  ,Jamaica pia inampango wa kubadilisha sheria za matumizi ya bangi ambayo hutambulika kama ni dawa za kulevya.
kwa mujibu wa TIME,waziri wa sheria nchini humo  Mark Golding alitangaza mabadiliko hayo siku ya jumanne wiki hii kuwa sheria hiyo itaaanza kutumika bbaada ya msimu wa joto kumalizika.


Monday, June 16, 2014

Picha:Waandishi wa habari wazua kasheshe kwenye kambi ya timu ya taifa ya Croatia

0 comments
 
Wachezaji wa timu ya taifa ya Croatia wamegoma kuzungumza na waandishi wa habari waliofika kwenye hoteli ya mjini Bahia ambapo ndipo timu hiyo ilipoweka kambi.

Michael Schumacher apata aruhusiwa kutoka hospitalini

0 comments
 http://www.agencianoticias.com.br/wp-content/uploads/2014/05/Sa%C3%BAde-Michael-Schumacher.jpg
Bingwa wa mbio za magari ya Formula one,  Michael Schumacher amepata nafuu na kuruhiwa kutoka hospitalini alipokuwa amelazwa kwa muda wa miezi sita.

Thursday, June 12, 2014

Don Jazzy amuajiri mfanyakazi wa Airport alie fukuzwa baada ya kumpa msaada...

0 comments
Don Jazzy at Tiwa Savage wedding to Tee Billz in Dubai. Photo: Filed

C.E.O wa lebel ya Mavin Don Jazzy amempa ajira mfanyakazi wa  Delta Airline  ambaye amefukuzwa kazi baada ya kumruhusu Don Jazzy kuendesha gari ndogo ambalo hutumika kubebea mizigo ndani ya airport (airport cart) akiwa kwenye uwanja wa ndege wa kimataifa Murtala Mohammed , Lagos,Nigeria.

Wednesday, June 11, 2014

Waigizaji wa Nigeria watoa filamu mbili kuhusu Wasichana waliotekwa na Boko Haram

0 comments

Waigizaji wa Nigeria watoa filamu mbili kuhusu Wasichana waliotekwa na Boko Haram  

Wakati ambapo serikali ya Nigeria iko kwenye mtihani mkubwa wa jinsi ya kuwaokoa wasichana zaidi ya 200 wanaoshikiliwa na kundi la Boko Haram, tayari waigizaji wa Nollywood wamechukulia tukio hilo kama fursa ya kupiga mpunga. 

Mike T kuanzisha kitaa Tv na kitaa Radio fm ,kuwapa promo wasanii wanaokosa nafasi ya kusikika ..

0 comments

Hi All, TATIZO = FURSA > Wasanii wengi kwa kipindi kirefu tumekuwa tunalalamika kuwa tunabaniwa kwenye MEDIA bila kuelewa kwa kifupi tu ukweli wa mambo. Kwa Uchunguzi nilioufanya kwa kipindi cha miaka mitatu hivi nimegundua haya, Watayarishaji au watangazaji wa vipindi kwa siku wanapokea zaidi ya nyimbo 30 kutoka kwenye studio mbalimbali hapa nchini, kwao inakuwa ni vigumu kucheza nyimbo zote kutokana either muda kuwa mdogo wa vipindi vyao au kuwa na request nyingi za nyimbo ambazo wamekuwa wanazicheza sana. > Swali likaja kwangu nyimbo au video ambazo hazichezwi na ni nzuri tufanye nazo nini ili na hawa wasanii wapate airtime? >

Tuesday, June 10, 2014

Video:"Albam yangu mpya itakuwa bora kuzidi zote" asema Nikki mbishi.

0 comments
Msanii wa HipHop kutoka Tanzania Nikki Mbishi Zohan amesema albam yake mpya itakuwa bora kuzidi albam zake zilizopita.
kupitia kipande cha video alicho jirekodi wakati akipitia wimbo mpya ulipo kwenye albam hiyo unaoitwa "'Michepuko''amesema mashabiki zake wategemee albam bora kuzidi Malcom XI na Sauti ya Jogoo. 

Saturday, June 07, 2014

Diamond kurekodi wimbo na Mafikizolo

0 comments

Leo ni siku ambayo mashabiki wa muziki Afrika na duniani wataiangalia Durban kwa macho mawili au kusikiliza kinachoendelea huko kwa masikio yote kwa kuwa MTV MAMA zitatolewa usiku.

Msanii wa kundi la Cali Swag District afariki dunia ..

0 comments

Kuni la muziki kutoka  Marekani  Cali Swag District limempoteza memba wa kundi hilo  JayAre ambaye amefariki jana ijumaa ,

Thursday, June 05, 2014

Jay amshauri Rihana kujihesimu kama mkewe Beyonce.

0 comments

Jay Z ameonesha kuvutiwa na maisha ya kistar anayoishi mkewe beyonce na kumshahuri Rihana  kufuta picha mbaya alionayo  na kuanza kuvaa na kuishi kama  Queen Bey.

Wednesday, June 04, 2014

Video:50 cent atangaza G-Unit kutoa albam mwaka huu.

0 comments
Kundi la G-unit baada ya kuungana katika tamasha la Summer Jam na kisha kuachia nyimbo mbili ,kiongozi wa kundi hilo 50 cent amejibu swali ambao mashabiki wengi wa HipHop walikuwa wanajiuliza kama kuna uwezekano wakafanya albam ya pamoja.

Mtoto wa kike wa R.kelly ajitambulisha kama mwanaume.

0 comments
 Jay Kelly
Wakati mataifa mengi ya afrika yakipinga vitendo vya usagaji na ushoga na kuyaacha mataifa ya ulaya na marekani kuendelea kuunga mkono vitendo hivyo,mtoto wa kike wa muimbaji nguli wa muziki wa R&B duniani R.Kelly anayeitwa  Jaya amejitambulisha kama Dume Jike “transguy” kupitia mitandao ya kijamii. 

Tuesday, June 03, 2014

Mkurugenzi wa Instagram asema ni marufuku kuweka picha za Utupu hata kama ni mtu maaarufu.

0 comments
https://lh3.ggpht.com/vFpQP39LB60dli3n-rJnVvTM07dsvIzxrCL5xMiy1V4GV4unC1ifXkUExQ4N-DBCKwI=w300

Muasisi wa mtandao wa kijamii wa istagram ameiambia tovuti ya bbc newbeat kuwa sheria za mtandao huo kuhusiana na kuonesha sehemu za siri zina “usawa” akimaanisha hazichagui mtu maarufu au mtu wa kawaida.

Police nchini Nigeria yapiga marufuku maandamano ya kampeni "BringBackOurGirls'

0 comments

 http://www.independent.co.uk/news/world/article9361847.ece/alternates/w460/chris-brown%20bring%20back%20our%20girls.jpg
Polisi nchini katika mji mkuu wa Nigeria, Abuja wamepiga marufuku maandamano ya watu wanaowaunga mkono zaidi ya wasichana wa shule mia mbili waliotekwanyara na kundi la wanamgambo wenye itikadi kali za kiislamu la Boko Haram mwezi Aprili.

Monday, June 02, 2014

Taswira ya rais Jomo Kenyatta yaonekana kwenye video mpya ya B.OB 'All I Want'

0 comments
Rapper wa Marekani B.o.B ameachia video mpya ya wimbo wake aliupa jina la ‘All I want’ ambayo anazungumzia  jinsi ambavyo kwake kitu muhimu zaidi ni kupata pesa.
Katika video hiyo, zimeonekana taswira za pesa za nchi mbalimbali zikiwa zimeunganishwa na nusu taswira ya marais walioko kwenye fedha hizo na taswira ya mtu ambaye anatamani kuwa kwenye noti hiyo.
Katika dakika ya 2 sekunde ya 49 ya video hiyo, inaonekana noti ya Kenya ya shilingi 1000 na nusu taswira ya rais wa kwanza wa Kenya, Mzee Jomo Kenyatta na imeungwa na picha ya mtu ambaye anatamani angekuwa na pesa ama kuwa kweye noti.

Chris Brown aachiwa huru baada ya kukaa jela siku 108

0 comments

Mwimbaji wa R&B, Chris Brown ameachiwa huru baada ya kutumikia kukaa jela kwa siku 108 kati ya siku 131 alizokuwa amepangiwa na mahakama hapo awali.
Mtandao wa TMZ umeripoti kuwa mkali huyo wa ‘Loyal’ ameachiwa huru majira ya usiku wa manane kuamkia leo.

Thursday, May 29, 2014

Mosey Radio matatani kwa kupanda marujuana nyumbani kwake..

0 comments
Mwanamuziki kutoka Uganda  Mozey Radio ameingia matatani baada ya kukamatwa kwa makosa mawili ikiwemo kupigana hadharani na pia kupanda bangi nyumbani kwake.

Nuh Mziwanda asimulia alivyokutana na Shilole

0 comments
http://www.bongo5.com/wp-content/uploads/2014/03/Nuhu-Mziwanda-akiwa-na-Shilole.jpg
Hakuna asie fahamu kama Nuh Mziwanda na shilole ni wapenzi ,sasa Nuh akifanya mahojiano na kipindi cha Trending Africa cha 100.5 times fm amezungumzia jinsi alivyo kutana na shilole aka shishi mpaka wakawa wapenzi.

Tuesday, May 27, 2014

Yemi Alade kutoa albam "King of queens"

0 comments
 Yemi Alade
Baada ya wimbo wa Johnny kufanya vizuri barani Africa muimbaji wa wimbo huo Yemi Alade anatarajia kutoa albam yake ya kwanza.

MAYWEATHER AMUOMBA RADHI MKE WA T.I NA WANAE KWA UGOMVI KATI YAKE NA T.I NA KUMUITA ‘KAHABA’

0 comments

 
Bondia Floyd Mayweather amemuomba radhi mke wa T.I, Tiny kufuatia ugomvi kati yake na T.I ambao ulipelekea yeye kumtaja kwa jina la kumdhalilisha ‘kahaha’.

Tuesday, May 20, 2014

Ciara ajifungua mtoto wa kiume

0 comments


  photo ScreenShot2014-05-20at24513PM_zps53d719a4.png
 Pongezi kwa wanamuziki Ciara na  Future ambao wamepata mtoto wa kiume jumatatu wiki hii .
Mtoto huyo amekuwa wa kwanza kwa Ciara mwenye umri wa miaka 20 na anakuwa mtot wan ne kwa Future ambaye tayari anawatoto watatu aliowapata hapo mwanzo.

Ray J kumpa Kim K zawadi ya ndoa sehemu ya mauzo ya mkanda wao ngono..

0 comments
 
Ray J amepanga kuwapa  Kim Kardashian na Kanye West zawadi ya  dola laki 47 kama zawadi ya ndoa yao pesa ambayo amedai inatokana na mauzo ya mkanda wa ngono waliotengeneza miaka iliyopita.

50 cent akasirishwa na kuto kualikwa katika mahafali ya mwanae akimaliza high school.

0 comments
Kufuatia kuenea kwa habari za 50 kuto kuhudhuria mahafali ya mwanae wa kwanza wa kiume Marquise akimaliza high school mwinyoni mwa wiki na kupelekea watu kumsema vibaya jamaa amelazimika kutolea ufafanuzi swala hilo ambapo kwa mujibu wa chanzo cha karibu kilicho zungumza na TMZ kimesema 50 hakufika katika mahafali hayo kutokana na kuto kualikwa wala kujua wapi yalikuwa yakifanyika

Monday, May 19, 2014

Cyrill asema ugumu wa taratibu za kutunza Camera za kuazima nje ya nchi ni kikwazo, kushuti 'Alowa' na director wa Kenya

0 comments

Cyrill asema ugumu wa taratibu za kutunza Camera za kuazima nje ya nchi ni kikwazo, kushuti


Ubora wa video ni moja kati ya hatua kubwa wanayoifanyia kazi wasanii wengi wa Tanzania ili video hizo zinapoifunika audio nzuri wanazofanya zikubalike katika vituo vikubwa vya runinga vya kimataifa.
Wapo wasanii kadhaa ambao kwa kutumia waongozaji wa Tanzania video zao zimeweza kuchezwa MTV na Channel O.

Muziki,pesa &ndoa: Mambo 10 usiyo yajua kumuhusu Wizkid

0 comments
Wizkid
1. Wizkid ngoma zake zote huandika mwenyewe
2. Wizkid hana mpango wa kuoa.
3.  vitu vitatu anavyo vipenda wizkid katika nchi ya afrika kusini kwanza watu wa south afrika ,pili muonekano wa mazingira ya south afrika tatu wanawake
4. Wizkid aina ya viatu anavyo penda ni  Jordans
5. na ana pair 122 za viatu
6. Wizkid ana tattoo 11 zikiwepo  tattoo za jina la mama yake na mwanae
7. Wizkid baba yake alishawahi kuwa mwanasiasa
8. Wizkid huwa hatizami mpira wa miguu

9. Wizkid huwa hatizami mpira wa miguu
10.Watu wanao mshawishi kufanya mziki ni Fela kuti na  Asa

Lupita Nyong'o anatarajia kucheza kama mfanyakazi wa ndani kwenye movie mpya ' Southpaw’

0 comments
lupita
Mshindi wa tuzo za Oscar Muigizaaji wa kike kutoka nchini kenya Lupita Nyong'o ambaye amjipatia umaharufu mkubwa kupitia filamu ya '12 years a slave' anatarajia kuendeleza makali yake katika filamu mpya inaitwa  ' Southpaw’.

Thursday, May 15, 2014

MWIMBAJI WA MUZIKI WA DANSI AMINA NGALUMA AFARIKI DUNIA

0 comments

MWIMBAJI nyota wa zamani wa bendi mbalimbali nchini ikiwamo Double M Sound, African Revolution 'Wana Tamtam', Amina Ngaluma 'Japanese' amefariki dunia akiwa nchini Thailand baada ya kupatwa na uvimbe kichwani. Mpaka mauti yanamfika, Amina alikuwa mwanamuziki wa bendi ya Jambo Survivors. Msiba upo Kipunguni B, Machimbo jijini Dar es Salaam.  
MUNGU AILAZE ROHO YA MAREHEMU AMINA MAHALI PEMA PEPONI. AMEN!…

SAUTI:Makamua kulipwa pesa baada ya wimbo wake kuchezwa kwenye Radio za Sweden..

0 comments
 
Makamua amesema wimbo alio mshirikisha Saraha Don’t cry unafanya vizuri nchini Sweden na huenda hivi karibuni akaanza kupokea malipo kutokana na wimbo huo kuchezwa kwenye vituo vya radio nchini humo.

Tazama video ya diamond akizungumzia kuchaguliwa kuwania tuzo za BET.

0 comments

Credit :Jestina George

Jay Z kuwa Best Man wa Kanye West kwenye ndoa yake na Kim Kardashian .

0 comments

Jay Z To Act As Best Man In Kanye West & Kim Kardashian Wedding 
kwa mjibu wa mtandao wa  Radar Online  , Jay Z anajipanga kuwa msimamizi wa kanye west kwenye ndoa yake na Kim K iliopamgwa kufanyika mwishoni mwa mwezi huu Paris Ufaransa.

Video ya Jay Z akishambuliwa na Solange kwenye lift ilinunuliwa na TMZ kwa shilingi million 400! Aliyeivujisha atimuliwa kazi"

0 comments
jay z_beyonce_solangeThe Standard Hotel lilipotokea tukio la dada wa Beyonce, Solange Knowles kumpiga Jay Z kwenye lift imembaini mfanyakazi aliyevujisha CCTV video ya tukio hilo,
lililotokea May 5 na kumchukulia hatua ya kumtimua kazi kwa kukiuka sera ya usalama wa hotel hiyo.

Wednesday, May 14, 2014

Soma alichokiandika diamond baada ya kuchaguliwa kuwania tuzo za BET..

0 comments

Baada ya kutajwa kuwania tuzo za BET za marekani mwaka 2014 kupitia kipengele cha best international act:Africa, Diamond amewatumia ujumbe mashabiki wake kupitia Twitter wa  kuwashukuru huku pia akiwataka kumpigia kura ili aweze kushinda tuzo hizo..

Diamond Platnumz atajwa kuwania tuzo za Bet 2014

0 comments
Diamond (2)

Baada ya kunyakua tuzo 7 za KTMA 2014, na kuwa nominated katika tuzo za MTV ‘MAMA’ nchini Afrika Kusini, sasa Diamond Platnumz ametajwa kuwania tuzo kubwa zaidi za kimataifa BET Awards za nchini Marekani.

Tuesday, May 13, 2014

wasanii wazungumzia sakata la Jay Z na Solange

0 comments
 
baada ya kuvuja kwa video inaonesha Jay Z akipigwa na mdogo wake Beyonce, Solage wakiwa ndani ya lift baadhi ya wasanii wametoa maoni yao juu ya sakata hilo ambalo limechukuua Headline karibia kila chombo cha habari..

Video: Mdogo wake Beyonce ampiga Jay Z ndani ya Lift

0 comments
Video: Mdogo wake Beyonce ampiga Jay Z ndani ya Lift
Jay Z alijikuta akishambuliwa na mdogo wake Beyonce anaejulikana kwa jina la Solange wakati wakiwa ndani ya lift.
Beyonce, Jay Z na Solange walikuwa wakitoka kwenye After Party huko New York iliyofanyika Standard Hotel. Solange alimshambulia Jay Z kwa Mateke na makofi huku Beyonce akiwa amesimama anaangalia wakati Jigga akijaribu kujilinda.
Sababu ya Solange kufanya tukio hilo bado haijafahamika.