Thursday, June 05, 2014

Jay amshauri Rihana kujihesimu kama mkewe Beyonce.


Jay Z ameonesha kuvutiwa na maisha ya kistar anayoishi mkewe beyonce na kumshahuri Rihana  kufuta picha mbaya alionayo  na kuanza kuvaa na kuishi kama  Queen Bey.

Chanzo cha habari kumeeuambia mtandao wa Dish Nation kuwa  Jay Z ambaye ndiye alivumbua kipaji cha Rihana miaka karibia 10 iliyopita na kumsaini katika label yake ya Roc Nation amekuwa akijaribu kumtengeneza Rihana ili aondokane na muonekano wa kigetho na kuwa na muonekano unao eleweka
Imeelezwa kuwa Jay Z amekuwa akipendekeza Rihana aachane na ulevi ,uvutaji na kujirusha mara kwa mara na kugeukia unywaji wa juice ili aufanye mwili wake utoe sumu,pia amemtaka asiwasiliane na chris brown siku za usoni sambamba na kumpiga chini Drake ambaye hivi karibuni alimdiss jay.
Habari hizi zimekuja baada ya june 2 Rihana kuvaa nusu uchi katika tuzo za CDFA pamoja na kuonesha hadharani kuwa anatumia bangi

0 comments: