Wednesday, November 27, 2013

movie aliofanya NAS na tyrese Black Nativity itawashtua fans wengi wa movie..

0 comments

 
Wakongwe wawili katika music Nas na Tyrese wakuja na Movie Black Nativity ambayo imeingia rasmi kwenye stores leo Nov 27
Movie hiyo imewashirikisha wakali wengine katika music kama Jennifer Hudson na Mary J Blige.

Tuesday, November 26, 2013

Baada ya kutoka kifungoni daktari wa Michael Jackson atoboa siri nzito.

0 comments


Kwenye mahojiano yake ya kwanza mara baada ya kuachiwa toka gerezani kwa kuhusishwa na kifo cha nguli wa muziki wa pop duniani Michael Jackson, Dokta

Conrad Murray alielezea kwenye mahojiano aliyofanya na The Mail kwamba, Michael hakuwa baba wa hata mtoto wake mmoja, aliathiriwa na madawa kiasi cha kufikia hatua ya kuhitajika kuwa anavaa condom sababu mkojo ulikuwa unatoka wenyewe kwenye uume wake.

Sunday, November 24, 2013

UTATA:LIL KIM APANDA JUKWAANI NUSU UCH***

0 comments


 photo kimlondon1_zps6af69c6e.jpg
hizi ni picha za lil kim ambazo zimeleta gumzo kwenye mtandao ,imeshindwa kueleweka kama ni fashion au aliamua kutengeneza headlines kwa kuvaa nusu uchi on stage pande za london ijumaa iliopita..
click >>> read more ni kwa waliozidi umri 18 tu..

Tiwa savage afunga ndoa .

0 comments

tiwa savage wedding pictures sold ovation magazine
Muimbaji raia wa Nigeria Tiwa Savage jana Nov 23 amefunga ndoa ya kiasili na mchumba wake wa muda mrefu ambaye pia ni Manage wake Olandunji balogun aka Tee Billz..

Friday, November 22, 2013

Davido asherehekea bday yake kwa kutoa msaada kwa jamiii(photo)

0 comments

Msanii kutoka Nigeria  Davido jana nov 21 alisherehekea siku yake ya kuzaliwa kitofauti baada ya kuamua kwenda kutoa msaada kwa jamii.

Peter Msechu akanusha kuudiss wimbo wa Ney wa Mitego"nakula ujana"

0 comments

clip_image002[12]
 baada ya peter msechu kupost ujumbe huo hapo chini kwenye instragam na kisha kutafsiliwa kama ni diss ya wimbo mpya wa Ney wa Mitego NAKULA UJANA ,na kupelekea blog nyingi nchini Tanzania kuandika habari hii kwa vichwa vya habari vilivyosomeka "Peter Msechu Audiss mwimbo mpya wa Ney wa mitego

Monday, November 18, 2013

Ndoa ya Peter Okoye (P squere) yafana ,DIAMOND audhulia !

0 comments
peter okoye wedding photos
hatimaye member wa kundi la P squere Peter Okoye amefunga ndoa ya kiasili na mchumba wake Lola Otayo jana jumapili na sherehe kuhudhuliwa na mastaa kibao wa musiki pamoja na filamu.

Dokta John (wagosi wa kaya) afiwa na mke wake.

0 comments


habari ambazo mtandao huu umezipata Dakta John wa wagosi wa kaya amefiwa na mke wake Josephine mwishoni mwa week iliopita mkoani Tanga..
Rapper Roma kutoka Tanga alimpa pole Dokta John kupitia Twitter

sababu za kifo cha cha mke wa docta john hakijajulikana ,SwahiliInfo.blogspot.com tunatoa pole kwa familia nzima ya Docter john

Sunday, November 17, 2013

Audio:darasa kuja na mixtape..

0 comments

Rapper kutoka kiwalani Darasa anakuja na Kanda Mseto [Mixtape] Yenye nyimbo 19 Aliyoipa Jina La "Dream Big - ChapaKazi " . Mixtape imewashirikisha   Shilole, Ngwear, Akiba, Bandana, Jux, Suma Lee, One Da Icredible Na Wengine Wengi.

Young Jeezy akasirika kuchereweshwa kutoka albam yake mpya..

0 comments

Young Jeezy (cropped).jpg


Rapper Young Jeezy ameujia juu uongozi wa wa label inayosimamia kazi zake Island Def Jam  na Universal Music Group kwa kushindwa kuweka wazi tarehe rasmi ya kutoka kwa albam yake mpya mpaka sasa.

Friday, November 15, 2013

sports:makundi ya CECAFA senior challenge cup.

0 comments

Group A.Kenya,Ethiopia,Zanzibar,South Sudan
Group B.Tanzania,Zambia,Burundi,Somalia
Group C.Uganda ,Randwa ,Sudan na Eritria

mashindano yanatarajia kuanza kutimua vumbi nchini kenya november 27.

sports :yanga yamsajili chipukizi wa Taifa stars

0 comments


Young Africans Sports Club almaraafu kama Yanga imefanikiwa kumsaninisha mkataba wa miaka mitatu kiungo Hassan Saleh Dilunga kutoka timu ya Ruvu Shooting ambapo mchezaji huyo ataanza kuitumikia timu yake mpya katika mzunguko wa pili wa Ligi Kuu.
Usajili wa kiungo Hassan Dilunga unakua ni usajili wa pili kwa klabu ya Young Africans katika kipindi cha dirisha dogo baada ya mwishoni mwa wiki kukamilisha kumsajili mlinda mlango Juma Kaseja.

Prezzo: Huddah is like government property. She has slept with almost the whole world..

0 comments
Prezzo kills the silence after Monroe harsh tweets a couple of weeks ago.
prezzo

Prezzo was blasted by Huddah a few weeks ago and as many thought, his silence wasn’t going to last.
The king of bling has now opened up about his relationship with socialite Huddah Monroe saying Huddah “is like a Government property”,and “has slept with almost the whole world” are some of the reasons he didn't want to date her.
“We got together like three times and I think she really liked what she got. I’m addictive and so she could not let go,” said the MMG boss in an interview.
Prezzo claims that Huddah is only bitter because he did not want to settle down with her and has been harassing all the women he dates.
“Huddah is like government property. She has slept with almost the whole world. Do you think the president would settle for such a woman? I never respond to her, but you may have noticed she attacked Goldie and Tanzania’s Diva.” Claims the rapper.
SOURCE..RapNairobi.com

Thursday, November 14, 2013

NOMA:police Nigeria akutwa akivuta bangi..

0 comments
nigerian police smoking weed
Picha hapo juu inamuonesha policeman wa Nigeria akivuta bangi wakati akiwa kazini ,picha hiyo imeenea kwenye socil media kuanzia jana nov 14.
Jamaa alipiga picha hiyo kwa kutumia simu yake amedaiwa kudhibitisha kuwa ni kitu cha kijiti kutokana na harufu iliokuwa inatoka..

Wednesday, November 13, 2013

zifahamu Sigara za kielekitroniki zilizo anza kutumika uingereza , inasemekana zitasaidia kuokoa maisha ya mamilioni ya wavuta sigara

0 comments
Sigara za kieletroniki , kifaa ambacho kinatumia betri uchochea uvutaji kwa kuchemsha na kufanya kimiminika kilichochanganywa na nikotini kuwa mvuke na mvutaji uvuta mvuke huo badala ya moshi kama ilivyo katika sigara za kawaida . utumiaji wa sigara hizi umekuwa ukiongezeka kwa kasi na kubadilisha utengenezaji wa tumbaku. 

Tuesday, November 12, 2013

NU VEDIO :ENDRU G Ft MAKUKA- UMENIBAMBA

0 comments

IRINGA:RUAHA UNIVERSTY COLLEGE (RUCO) INAHUSU...

0 comments
This is the special party for the Graduands from Ruaha University College, their families, continuing students of RUCO and nearby Universities& Colleges and the society in general of Iringa town and other nearby Places, to celebrate with the GRADUANDS for their Victory of being graduates......It is the moment where farewell hand will be given to graduands and the remaining majority within the college and the society at large.....Tell her/him to tell him/her so that You come all.....

Monday, November 11, 2013

Miley Cyrus Ameonekana akivuta Marijuana On Stage pande za Amsterdam Uholanzi..

0 comments

miley cyrus smoking marijuana weed

Miley Cyrus amekuwa na umaarufu mwenye utata tangu alipo anza kupata fans wa muziki duniani kote
Picha zilizoenea kwenye mitandao zinamuonesha muimbaji huyo wa miaka 20 akiwasha kitu kilichozaniwa ni bangi wakati wa utoaji wa tuzo za MTV Europe Music siku ya jumapili.

prezzo na navio kushiriki kwenye mixtape ya dj drama..

0 comments

dj drama  Chick

Rappers wawili kutoka Kenya Madtraxx and Prezzo watashiriki katika mixtape mpya ya American hip-hop artiste and DJ, DJ Drama.  DJ drama amesha wahi kufanya kazi na wasanii wakubwa marekani kama , lil wayne, Ti, Ludacris na wengine kibao

The Game amefafanua maana ya picha ya kutengeneza (photoshopped photo) ilionekana akiwa na 2pac..

0 comments

The Game  mapema week iliopita alipost picha Instagram akiwa na  Tupac,lakini haikuchukua muda ikafamika ni picha ya kutengeneza ,ishu hii ilifanya fans wake wafiria kuwa rapper huyo kutoka  Compton anataka kuwadanganya kuwa  alishakutanana na 2 pac kabla ya kifo chake . 

Sunday, November 10, 2013

Meek Mill shows Nigeria’s Ice Prince some love.

0 comments
Meek Mill shows Nigeria’s Ice Prince some love.
Seems like Ice Prince has a lot of good things going for him at the moment. His newly released album “Fire Of Zamani” has been getting a lot of positive remarks from fans and industry friends within the country and in the diaspora. Meek Mill took to his twitter page to show Solidarity to his friend, Ice Prince urging his fans to also get the album off iTunes.
"Shout out to my African "aboki" @Iceprincezamani. da biggest African artist just released the most anticipated album". He tweeted

Tuesday, November 05, 2013

DRAKE APIGA MNADA NYUMBA YAKE..

0 comments
Drake

Mkali wa Hold on we’re going home drake ametangaza kuuza (condo )apartment yake iliopo kwao Toronto Canada kwa kiasi cha dola  milion $3.75 ,

Apartiment hiyo inadaiwa kuwa na vitu vya dhamani kuanzia furniture na kuna  private elevator , valet and guest parking, indoor pool, exercise room, party room, vyumba vya wageni na sehemu ya kuoshea magari car wash .