Wednesday, August 27, 2014

Albam ya Wiz Khalifa yakamata nafasi ya kwanza Billboard 200


 Wiz Khalifa
Kiongozi wa  Taylor Gang Wiz Khalifa amefanikiw  kwa mara ya kwanza albam yake  kukamata nafasi ya kwanza kwenye Billboard 200  wiki hii

Albam hiyo ambayo ni ya tatu kuitoa inaongozwa na single ya “We Dem Boyz,”inaitwa  Blacc Hollywood  imefanikiwa kuuza nakala 90,000  katika week yake ya kwanza
Japo mauzo ya wiki ya kwanza ya albam hii yapo chini ukilinganisha na albam zake zilizopita albam yake ya kwanza mwaka 2011 Rolling Papers (No. 2, 197,000) ya mwaka 2012  O.N.I.F.C. (No. 2, 148,000).

Wiz Khalifa alitweet kuhusu furaha alionayo baada ya taarifa hizo

“Number 1 album on they ass. Thank you taylors,” tweeted Wiz. “Honestly we’ve been waiting for this day for a very long time. I cant thank you enough.”

.
 

0 comments: