Monday, May 19, 2014

Muziki,pesa &ndoa: Mambo 10 usiyo yajua kumuhusu Wizkid

Wizkid
1. Wizkid ngoma zake zote huandika mwenyewe
2. Wizkid hana mpango wa kuoa.
3.  vitu vitatu anavyo vipenda wizkid katika nchi ya afrika kusini kwanza watu wa south afrika ,pili muonekano wa mazingira ya south afrika tatu wanawake
4. Wizkid aina ya viatu anavyo penda ni  Jordans
5. na ana pair 122 za viatu
6. Wizkid ana tattoo 11 zikiwepo  tattoo za jina la mama yake na mwanae
7. Wizkid baba yake alishawahi kuwa mwanasiasa
8. Wizkid huwa hatizami mpira wa miguu

9. Wizkid huwa hatizami mpira wa miguu
10.Watu wanao mshawishi kufanya mziki ni Fela kuti na  Asa

0 comments: