Friday, January 04, 2013

BIASHARA MPYA YA IZZO B, INTERNATE CAFE MJINI MBEYA..MR SUGU KUIZINDUA LEO..

 Mbunge wa Mbeya mjini Mh Joseph Mbilinyi (Sugu) anatarajiwa kuwa mgeni rasmi katika ufunguzi wa biashara mpya ya msanii Izzo B "INTERNETE CAFE" iliyoko katika chuo cha Teku jijini Mbeya.
Huu utakua ni uwekezaji wa pili wa msanii Izzo B baada ya kufungua duka la nguo hapo hapo mjini mbeya ambapo ndipo anapotoka. All  the best


0 comments: