Thursday, April 04, 2013

P SQUARE wakana kuepo Facebook...

 
Peter Okoye kutoka P square ametoa Onyo kwa mashabiki wao kupitia Twetter kuwa wao hawatumii mtandao wa kijamiii wa Facebook ,hivyo kuna jamaa wapo Facebook wanaZogoa kama ni wao.

cheki tweet za Peter jana jumatano..

0 comments: