![](http://thumbs.hh.ulximg.com/public/article/600_1382424276_63c304c129604c1d1ad2378d0499703c.jpg)
Hatimaye Kanye West amvisha pete ya uchumba mpenzi wake Kim Kardashian jana (jumatatu) tarehe 21 wakati
akisherehekea siku yake ya kuzaliwa..
Usiku wa kuamkia jumanne kim alikuwa na private party
kusherehekea kutimiza miaka 33 ndipo Kanye west alipo muuliza Kim kama anaweza kumuoa.
Lakini kabla hajafanya hivyo kwa Kim ,Kanye alionesha ni mtu
makini kwani alianza kumulize mamake na Kim ,Kris Jenner kama anatoa Baraka amuowe
mwanae ,
Kanye na Kim wamekuwa pamoja kwa miaka kadhaa hivi sasa na wamefanikiwa
kupata mototo pamoja North.Congratulations to Kanye and Kim!
0 comments:
Post a Comment