![dbanj farming dbanj farming](https://blogger.googleusercontent.com/img/b/R29vZ2xl/AVvXsEj7g8N2-A3RBkPaGT9Ix2CZHOWWDd08zIn1W8zCngiSWstcSpav50v6ODoKo1QNuVSSkD8L1NOb0RTxz2vuAvZPfgRy9iEdJA-8UEQpDrYTCTVv_3i80VpfxtW2G9CaVp8VRoAE48F_QUDK/s1600/dbanj+farmer.jpg)
Msanii kutoka Nigeria Oladapo Oyebanjo aka Dbanji wakati akitarajia kusherehekea kutimiza miaka 10 tangu aanze kufanya music hapo mwakani 2014 amejipanga kuingia katika shughuli za kilimo .
Dbanj alianza kufanya music 2004 ,kwa miaka 9 iliopita amepata pata mafanikio ikiwemo kupata tuzo ndani na nje ya Nigeria.
Sasa jamaa mwakani anampango wa kuwekeza katika kilimo ikiwa ni sehemu ya mafanikio anayoendelea kuyapata.
![dbanj agriculture dbanj agriculture](https://blogger.googleusercontent.com/img/b/R29vZ2xl/AVvXsEhVQXJEjP22aPP_XFcxZVBt_8DWPPpR8c_YZiWEgHRhDPxqSwuECNt38sw9Q4lQUCT42DwGvTIULppYBxHIOMZzSwH8QRD8QjYIbBxCty8su5vDkcEoEw8CTXHj4lSG4os3kOiBxCoFba_D/s1600/dbanj+farming.jpg)
January 2014 Dbanj anatarajia kuhudhuria kongamano African Union Summit nchini Ethiopia ambapo ataingia makubaliano ya kuhamasisha kilimo cha wakulima wadogowadogo barani Africa.
![dbanj agriculture dbanj agriculture](https://blogger.googleusercontent.com/img/b/R29vZ2xl/AVvXsEi2eEO2uL3x9ZAroVcOIx7pyhYdS19wQe-FGoHCjuLFWr68xnYnQTfUy2Mjw1PUbfEC3FfjssYe5LFB6FHKeCVHAbQDxPT181_lpgoKNYQ3A4dyh9Zjuk94WruHL_wi4vQV-MEJ1097STWm/s1600/dbanj+agriculture.jpg)
Katika picha Dbanj anaonekana akifanya maandalizi ya
kuwekeza katika kilimo
0 comments:
Post a Comment