Sunday, September 30, 2012

ULE MCHAKATO WA VISON RECORD'S WAKUSAKA VIPAJI NJE NA NDANI YA WILAYA YA MAKETE UMEANZA NA FOMU ZA KUJIUNGA ZINAPATIKANA KWA 10,000/=

Uzinduzi wa studio hiyo utafanyika Tarehe 27/10/2012 wakati mgeni rasmi atakuwa Mkuu wa Wilaya Makete Mh. Josephine Matiro na ikumbukwe kuwa watakao kuwa washindi watatu katika shindano hilo la kutafuta vipaji watarekodi bure na kazi zao zitasimamiwa naVISION ENTERTAINMET.

Mawasiliano kwa watakaotaka kuchukua fomu 0755 894 663 & 0657 803 934.

0 comments: