Tuesday, January 14, 2014

Kanye West matatani kwa kumshambulia kijana wa miaka 18 ,baada ya dogo huyo kumshushia heshima Kim Kardashian.

Kwa mujibu wa mtandao wa Tmz kanye alifanya kitendo hicho jana January 13 wakati wakiwa eneo la kusubiria kuingia  katika clinic ya  afya .


Inadaiwa wakati Kim akitaka kuingia katika clinic hiyo alikuwa akisongwa na Papparazi ndipo kijana huyo wakiume alipo mwambia KIM ’ achana na hao mashoga “ akimaanisha mapaparazzi huku akiambatanisha na nene Nigger (Fuck these faggot-ass niggers)
Kim Kardashian akamwambia huyo dogo wa miaka 18 kuwa hakutakiwa kutumia neon Nigger ndipo dogo alipo kasirika na kumjibu   “Fuck you, bitch.Mi nilikuwa na kusaidia . Shut up nigger lover,
Kasha Kim Kardashian  ambaye alikuwa pekee yake kwa wakati huo akamuacha dogo aingia ndani ya office na kumpigia simu Kanye West ambaye alifika haraka na kufata dogo kumshambulia kwa kumpiga.
Sasa kuna taarifa kuwa dogo huyo anampago wa kumfungulia mashtaka Kanye

Kumbuka hii sio mara ya kwanza kwa Kanye kwani miezi michache iliopita alikumbana na msala wa kumshambulia paparazzi.

0 comments: