
Floyd Mayweather ameonesha upendo kwa homie wake Justin
Bieber baada ya hivi karibuni kukamatwa na kuachiwa kwa kosa la kuendesha gari
kwa kasi huku akiwa ametumia marijuana na kilevi . Mayweather kupitia Instagram
& Twitter ameutaka ulimwengu kujua bado anampa support bieber ambaye kwa
hivi sasa ameenda kuondoa stress pande za panama..
0 comments:
Post a Comment