Monday, December 10, 2012

KAMA ULIMISS HOT STORIES ON THE SPLASH AT EBONY FM,MZIGO HUU HAPA...




HEADLINES

Meneja wa Nicki Minaj aziponda tuzo za Grammy kwa kutomchagua Nicki Minaj…Ni kwa kutomuingiza Nicki kwenye kipengele chochote……
*************



2 CHAINZ ATOA APPRICIATIONS KWA WALIOMFIKISHA HAPO ALIPO…NI BAADA YA KUWA NOMINATED KATIKA KIPENGELE CHA ‘RAP ALBAM OF THE YEAR’ KWENYE GRAMMY 2013……..

0 comments: