Thursday, December 27, 2012

KAZI IMEANZA….ILE RAP BATTLE YA CASSIDY NA MEEK MILL….HII NI KARATA YA KWANZA YA MEEK MILL…


Vita kati ya marapper wawili, Cassidy na Meek Mill wa Maybach tayari imeanza rasmi.
Baada ya juzi kati tu kujibizana kwenye twitter na kukubaliana kuingia kwenye rap battle…na hiyo ni baada ya mtu mzima Cassidy kuachia a diss track kwa Meek Mill “Me, Myself & iPhone”..sasa Meek Mill leo ameachia track yake ya kwanza kama diss kwa mtu mzima Cassidy.
Track inaitwa “Repo”….track ambayo Meek Mill amekwenda straight sana kwa mchizi bila kupindisha maneno na kuweka wazi changamoto anazokutana nazo kwenye game kutoka kwa marapper wa muda mrefu kidogo kama Cassidy…kwenye ngoma kuna lines anasema..” You talkin' 'bout a battle rap? How you gon' handle that? / Hundred grand pussy nigga? You ain't got the time for that / You ain't got the stacks for that / You know what we laughin' at," 
 baaada ya hiyo picha ilioambatana na diss track ,cassady ali-tweet maneno haya ,,

Sikiliza track hiyo hapa......... 

0 comments: