Saturday, December 22, 2012

RAPPER FAT JOE HUENDA AKAENDA JELA MIAKA MIWILI KWA KUKWEPA KULIPA KODI...

Rapper Fat Joe ameshitakiwa na serikali ya marekani kwa kosa la kukwepa kulipa kodi,
Fat Joe au Joseph Cartagena mwenye umri wa miaka 42 anafahamika kwa kazi alizowahi kuzifanya late Big Pun, Terror Squad na wakali wengine kibao, amepatishwa kizimbani katika mahakama ya New Jersey,na uhenda akashitakiwa miaka miwili jela lakini kwasasa yupo nje kwa dhamani ya $250,000,
Hukumu ya kesi hiyo itatolewa  April mwakani .

0 comments: