Wednesday, December 26, 2012

WIZ KHALIFA NA 50 CENT KUFANYA MOVIE PAMOJA....


Baada kutoka na film ya Mac & Devin Go To High School akiwa na  Snoop Dogg ,Wiz Khalifa amenogewa na biashara hiyo na sasa yupo kwenye mipango ya kutengeneza movie nyingine ambayo itamshirikisha star wa rap ,
Akipiga story na DJ Whoo Kid ,wiz amedhibitisha kuwa  alizungumza na 50 Cent juu ya kufanya  movie na soundtrack pamoja , “ nilikuwa na 50 Vegas na tukazungumza juu ya kutengeza movie na soundtrack pamoja . “nataka niwe drug dealer kwenye hiyo movie. Nataka nishike pistol. Akatania ,Nataka niwashoot ,”
Check out interview yake na DJ Whoo Kid , Wiz anazungumzia ujauzito alionao Amber Rose, na kwanini snoop or Curren$y hawajatokelezea kwenye albam yake, na anasubiri kufanya kazi Dr. Dre, 

0 comments: