
Repota wa
Swahiliinfo alimuuliza kama anampango wa kugomea tena baada ya kushindwa udiwani
kwenye uchaguzi uliopita ‘’swali zuri sana mimi saivi naitwa mbunge wa kinondoni
hivyo ntagombea uchaguzi ujao’’amesema kalapina..
''Hizi Salamu ziende kwa Madam Rita na bongo star search.
Baada Walter chilambo Mshindi wa Epiq Bongo Star Search mwaka 2012kupinga
tuhuma nzito za Ney wa Mitego kupitia ngoma yake mpya ya ‘salam zao’ ambapo
kuna lyrics zinasema