Tuesday, August 20, 2013

TIWA SAVAGE KUFUNGA NDOA NA MANEGER WAKE.


Tiwa-and-Tee-Billz-
Mkali wa ngoma kama Love Me Love Me na Kale Kale,Tiwa Savage kutoka Nigeria anatarajia kufunga ndoa na mchumba wake  Teebillz  ambaye pia ni maneger wake.
Wawili hao wamechagua Nov 23 kama siku ya ndoa yao ya kiasili itakayofanyika logos Nigeria  ..alafu sherehe ya ndoa yao wataifanya mwakani mwezi february katika visiwa vya  Maldive vilivyopo katika bahari ya hindi  .

0 comments: