Sunday, August 04, 2013

Rapper alieanzisha biashara ya condom na boxes sasa anauza vikombe pia..






 Rapper anazungumziwa sana nchini kenya kwa hivi sasa Octopizzo amezidi kujikita katika biashara baada ya kuanzisha biashara ya Condoms ,Boxies za vitenge,clothing line na Tour Company sasa ameanza kuuza vikombe vyenye jina na picha yake kwa nje..

0 comments: