Wednesday, August 28, 2013

EXCLUSIVE:KALAPINA ATANGAZA NIA,KUGOMBEA UBUNGE -2015


Baada ya kugombea udiwani wa kata ya Kinondoni katika uchaguzi uliopita kwa ticket ya chama cha CUF na kushindwa ,Kalapina amesema kwasasa anajipanga kuwania ubunge wa jimbo la kinondoni ambalo kwasasa lipo chini ya Iddy Azan..

Repota wa Swahiliinfo alimuuliza kama anampango wa kugomea tena baada ya kushindwa udiwani kwenye uchaguzi uliopita ‘’swali zuri sana mimi saivi naitwa mbunge wa kinondoni hivyo ntagombea uchaguzi ujao’’amesema kalapina..

1 comments:

Unknown said...

Ametisha mzaz kaanza kujiita mbunge before tukio! Hahaha gwalaa kwake