Sunday, July 14, 2013

Mfahamu binti wa miaka 16 /WondaGurl/alitengeneza beat kwenye albam ya jay z

wondagurl in studio with jay z

Moja ya habari zinazizungumzwa sana kwenye mtandao ni producer wa miaka 16  WondaGurl, ambaye ameshiriki katika kutengeneza beat kwenye albam ya Jay Z Magna Carta… Holy Grail. Ambayo imetangazwa  platinum
Ebony Oshunrinde aka  WondaGurl mcanada mwenye asili ya Nigeria  jina jipya katika production  ya beat za hiphop ametengeneza track ya  “Crown,” kutoka kwenye albam ya jay z WondaGurl alianza kutengeneza beats tangu akiwa na miaka 9 alijifunza kupitia video  clip na ilikuwa inspired za timbaland.akiwa na miaka 14 alishriki mashindano ya kutengeneza beats mjini   Toronto/ Battle of the Beatmakers /lakini akaishia robo fainali lakini alishiriki tena mwaka uliofuatia na akawa mshindi wa kwanza  mafanikio alianza kuyapata baada ya kusign   Black Box.
 

Jinsi alivyo kutana na Jay z
WondaGurl alimtumia track  rapper kutoka  Houston Travi$ Scott ambaye alimjibu alimjibu siku chache baadae kwa  kumwambia  ‘nataka kubadilisha maisha yako “I’m about to change your life.” Scott alimsikiliza track hiyo Jay-Z,kasha akampigia na kumwambia  ‘upo kwenye albam ya jay z ,hongera “You are on Jay Z’s album, congratulations.”
WondaGurl  ambaye mama yake ni mnaigiria Jozie Oshunrinde  akizungumzia mafanikio yake amema mama yake alikuwa anasisitizia aendelee kusoma ata baada ya kusinda mashindano ya kutengeneza beats /Battle of the Beatmakers / ‘niliakikisha napewa credits  kwenye kazi zangu coz pila kufanya hivyo kulikuwa na uwezekano mama yangu kutupa vifaa vyangu wa muziki..
Ili kufahamu zaidi unaweza kum follow kupitia @WondaGurlBeats.

0 comments: